Wednesday, February 5, 2014

BARAKA ZA BWANA

Mwana Kondoo
  "Baraka za Mungu zinapokuja kwa mtu humbadilisha mpaka jina.
Kabla ya baraka aliitwa YAKOBO baada ya baraka akaitwa ISRAEL .Kabla ya baraka aliitwa ABRAHAM Baada ya baraka akaitwa IBRAHIM,
Kabla ya baraka unaitwa MASIKINI ukibaliwa utaitwa TAJIRI.Ombi langu Mungu akupe jina jipya ktk jina la YESU.


No comments:

Post a Comment