Saturday, March 21, 2015

KWELI KUHUSU PASAKA!

HALELUYA WAPENDWA... NATAMANI KWA POSTI TUUFUHAMU UKWELI,HULAZIMISHWI KUAMINI,LAKINI UKIELEWA INATOSHA.
NENO PASAKA LIMETOOLEWA TOKA KTK MATAMSHI YA KIEBRANIA PESACH/PASAKH AU PASSOVER KWA KIINGEREZA,LIKIWA NA MAANA YA "PITA JUU YA" LINATAJWA KWA MARA YA KWANZA KTK KUTOKA 12:11 ;
WAYAHUDI WALIELEKEZWA KUPAKA DAMU YA KONDOO AU MBUZI(KUTOKA 12:5) KATIKA MIIMO YA MILANGO,ILI YULE MALAIKA MHARABU(DESTROYER) ATAKAPOPITA JUU YA MISRI AKIIONA DAMU KTK "DOOR POSTS" AKAWA ANAPASAKA(PITA JUU) ASIPOIONA DAMU ANAUA WAZALIWA WA KWANZA. MUNGU AKATOA MAELEKEZO HIYO SIKU WAISHEREKEE KAMA AMRI YA MILELE(KUTOKA 12:14) SASA NAMNA YOTE YA KUIADHIMISHA PASAKA KWA KIYAHUDI,TARATIBU ZIPO KTK SURA HIYO YOTE YA 12. MTUME PAULO KWA UFUNUO ANAMFANANISHA YESU NA YULE MWANAKONDOO WA PASAKA,NAYE AMECHINJWA KWA UKOMBOZI WETU,NAAM YEYE NDIYE PASAKA WETU (1KOR 5:7-8) .
MUHIMU:
UKRISTO SIO DINI YA KIYAHUDI(JUDAISM) INGAWA ILIANZA KAMA SECT(DHEHEBU) NDANI JUDAISM
JE!PASAKA NI EASTER?
KOSA KUBWA SANA NI WATU KOKOSA MAARIFA NA KUSEMA TUNASHEREHEKEA EASTER,EASTER SIO PASAKA NENO EASTER NI LA KIINGEREZA LIMETOKANA NA JINA "ISTHAR" THE BABYLONIAN GOD OF FERTILITY ,MUNGU WA UZAZI WA BABELI,NDIO MAANA MAPAMBO YA EASTER HUKO ULAYA NI MAYAI EITHER PICHA AU VITU VILIVYOTENGENEZWA KWA PLASTICS AU RUBBER. JARIBU KWENDA GOOGLE-IMAGES TAFUTA "EASTER ORNAMENTS" UTALETEWA MAPAMBO YA EASTER NI MAYAI. SASA MAYAI HAYANA UHUSIANO NA IMANI YA UKRISTO,MAYAI YAMETAJWA KTK BIBLIA,LAKINI OCCASIONS MBILI TUU ZA MAANA NA SIO KWAMBA YAMEHUSIANISHWA NA IMANI. MABISHOPS WA KARNE YA TATU WALIPOONA KUNA SHEREHE ZA KIPAGANI WAKAONA NI HERI HIZO TAREHE WAACHANE NA ULE UPAGANI WAAZIMISHE MATUKIO MUHIMU YA UKRISTO,IKUMBUKWE HAKUNA KALENDA YA KIKRISTO,THE GREGORIAN CALENDER REPLACED THE JULIAN CALENDAR NA NDIYO ITUMIKAYO DUNIANI KOTE,HATA WALE WENYE KALENDA ZAO ZA KIDINI WANAITUMIA HII PIA.NITAFAFANUA CHINI KIDOGO
INASHEREHEKEWAJE SASA?
PASAKA YA WAYAHUDI NI TAREHE 14 MWEZI NISANI,IKUMBUKWE KALENDA YA WAYAHUDI MUNGU ALIIFANYIA AMENDMENT WAKATI ANAWATOA MISRI (KUTOKA 12:2) ALIWAAMBIA HUU UTAKUWA MWANZO WA MIEZI KWENU,
KUMEKUWA NA HOJA AMBAZO NI MATOKEO YA KUTOELEWA MAMBO.
HEBREW CALENDAR NA SECULAR CALENDAR HAZIFANANI KWA LOLOTE!
THE TIME WATU WATACHANGANYIKIWA NI PALE MNAPOTAKA KUITAJA UKIWA UNATUMIA HII GREGORIAN CALENDAR!
ANAYETAKA KUELEWA ASOME HAPA
WIKI ILIYOISHA TAREHE 15 (INGAWA JUMAPILI NI SIKU YA KWANZA YA JUMA NAIWEKA HIVI NISICHANGANYE WAZO JINGINE),ILIANZA TAREHE 9
YAANI 9 MARCH 2015 TAREHE HIYO KWENYE CALENDAR YA KIYAHUDI ILIKUWA TAREHE 27 ADAR 5773 ,SASA HUO MWEZI WAO ADAR NI WA MWISHO KTK KUHESABU TOKA MWEZI NISANI. MWEZI NISANI WA KIYAHUDI NI WA KWANZA,LAKINI KWENYE SECULAR CALENDAR,TOFAUTI YA MIEZI MITATU ILITOKANA NA MUNGU KUWAAMBIA WAISRAEL "HUU UTAKUWA MWANZO WA MIEZI KWENU" WAKATI ILIKUWA MWEZI WA ABIBU(YAANI WA TISA)
SASA WANAOTAJA 14 NISANI KUWA NI PASAKA,HAPO SIO JANUARY,MNAPASWA KUONGEZA MIEZI MITATU ILI KU-MATCH NA CALENDAR ZENU MLIZOBANDIKA SITTING ROOMS,WALE BISHOPS WALIO ''SWAP'' ILI KUONDOA SIKUKUU ZA KIPAGANI,WALIZINGATIA HILONDICHO WALICHOFANYA MWAKA 368A.D KUHUSU 25 DESEMBA YAANI KRISMASI,MAADHIMISHO YA ISTHAR FELL IN THE MID APRIL,INGAWA INATOFAUTIANI NA HATA KUANGUKIA MARCH MWISHONI. KILICHOLENGWA NI YALE MAJIRA.MNAWEZA KUCHANGANYIKIWA MTAKAPOKUTA CALENDAR YA KIYAHUDI WAMEIMECHISHA NA SECULAR LAKINI YAO MWEZI HUU HATA TAREHE 30 HAIPO,MNAWEZA KUIDOWNLOAD TU GOOGLE STORE..
JE NI UPAGANI KUSHEREHEKEA/KUADHIMISHA PASAKA?
NDUGU WAPENDWA WAPO WANAONA SI VYEMA,NA WAPO WANAONA NI VYEMA ULIMWENGU UKUMBUSHWE KILA MWAKA KUWA YESU ALIZALIWA,ALIKUFA KWA MAUTI YA MSALABA NA KUFUFUKA,HAKUNA HAJA UGOMVI WALA KUHUKUMIANA,ANAYEONA HAIFAI AACHE,NA WANAOONA VYEMA WAADHIMISHE.HAKUNA UPAGANI MAANA KTK SECULAR KALENDA EASTER NI SEASONS NA SIO KUMWABUDU MUNGU WA UZAZI WA BABELI,NDIO MAANA WAKRISTO KWA MAJIRA HAYO HATUPAMBI MAYAI,WALA HATUFANYI LOLOTE LILILOKUWA LIKIFANYWA NA WALE WAPAGANI,BALI TUNAITANGAZA KWA WAZI MAUTI NA KUFUFUKA KWA YESU,TUKIJIDHILI KWA KUFUNGA NA KUOMBA MAJIRA HAYA YA PASAKA. KUNA WANAOSEMA PASAKA NI MEZA YA BWANA,HIZI NI DOCTRINES TOFAUTI ZA MADHEHEBU HATUWEZI FANYA WABADILISHE .
MFANO MEZA YA BWANA MITUME NA WAKRISTO WA KWANZA WALIIFANYA REGULARLY KILA WALIPOKUTANA,NA JE NDIVYO INAVYOFANYWA KTK MADHEHEBU YOTE?KILA MKIKUTANA MNASHIRIKI MEZA YA BWANA?NA KAMA NDIVYO MBONA INATOFAUTIANA NA MAANA ILE YA PASAKA YA TAREHE 14NISANI,AMBAYO INAANGUKIA TAREHE FULANI ZA MWEZI WA NNE?NA HAYA MAANDIKO MATH 26:1-2,MARKO 14:1,LUKA 2:41-41,YANAONESHA MAJIRA YA PASAKA YA KIYAHUDI NDIYO MAJIRA YA PASAKA YA KIKRISTO,YESU ALIPOKUJA ALISHIRIKI YOTE KWA TARATIBU ZA KIYAHUDI SIO ZA KIKIRISTO,AMBAPO UKRISTO ULIKUJA KUWA DINI KAMILI HUKO MBELE YESU AKIWA AMEONDOKA KITAMBO.WAFUASI WA YESU WALIITWA WANAFUNZI WA YESU,BADAE WAKRISTO(MDO 11:26)
IKUMBUKWE:
CHRISTIANITY IS NOT THE JEWISH RELIGION THOUGH IT BEGAN AS THE SECT WITHIN JUDAISM.
WANAOTAJA TAREHE 14NISANI HIYO NI TAREHE NGAPI KWA KALENDA TUNAYOITUMIA?...
TOFAUTI YA MIAKA
TANGU AZALIWE YESU MWAKA (4BC) LEO NI MWAKA 2015,LAKINI HUU NI MWAKA WA 5773 KWA WAYAHUDI,NA NI MWAKA WA 1436 KWA WAISLAMU.
IT IS THE CONTENT THAT COUNTS!

mwl.proo 0762879363

Thursday, March 19, 2015

POMBE NI HATARI KATIKA SAFARI YA KWENDA MBINGUNI

1 timotheo 5:23
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo Mara kwa Mara.
QN ...
A. Mvinyo uliotajwa hapo ni pombe

B. Kwann Paul alimwambia timotheo atumie mvinyo ili apone kwann hakumwombea kwa Mungu ili amponye
KUNYWA POMBE NI DHAMBI KWA WATU MUNGU,HAKUNA UTETEZI WOWOTE WA KIBIBLIA. JAMBO LA KWANZA LUGHA YA KISWAHILI HAIKUWA NA MANENO YA KUTOSHA KUTAJA AINA ZOTE ZA DIVAI/MVINYO/VILEO. KTK ULIMWENGU WA ULE WA ZAMA ZA BIBLIA HUSUSANI UYAHUDI NA UYUNANI,WALIKUWA NA MANENO TOFAUTI KUTOFAUTISHA KINYWAJI HUSUKIA TOKA KWENYE ZAO LA ZABIBU. NI KAMA AMBAVYO CRUDE OIL IKIPITIA REFINING PROCESS HUTOA PETROL,DIESEL,KEROSENE ETC VIVYO HIVYO ZAO LA ZABIBU HUTOA DIVAI KILEO,DIVAI PURE JUICE,DIVAI DAWA ,ZABIBU KAVU ETC
HAYA NI MAJINA YANAYOTOFAUTISHA AINA HIZO KAMA YANAVYOONEKANA KWENYE HEBREW BIBLE(TANAKH) NA GREEK BIBLE(SEPTUAGINT)
(1)TYROSH PURE JUICE OF CANA (JOHN 2)
(2.) YAYIN THE MOST COMMON WINE IN THE BIBLE
(3)CHEKAR
(4.)MAMCHAK
(5.)GATH
KATIKA HIZI ZIPO AMBAZO NI DAWA ZA KUPAKA VIDONDA TUYATAZAME HAYA MAANDIKO FROM OJB
PROV 31:6
|6| Give strong drink unto him that is ready to perish, and yayin unto those that be of bitter nefesh.
JH 2:10
|10| And the Rosh HaMesibba says to him, Everyone sets out the yayin hatov first, and when they have become drunk, he sets out the inferior; you have kept the yayin hatov until now. |11| This was the reshit
1TIM 5:23
|23| No longer drink only mayim, but use a little yayin because of your stomach and your frequent illnesses.
DIVAI ILIYOKUWA NI JUICE PURE NA HALALI KUNYWEWA BILA SHARTI NI TYROSH,INGAWA YAYIN NDIYO ILIKUWA THE MOST COMMON DIVAI. SASA HATUNA BUDI KUJUI DIVAI WAS A CUSTOMARY ACCEPTED DRINK,INGAWA TUNAKUMBUKA MUNGU ALIWAKINGA WATU KADHAA WALE ALIOWATENGA KWA KUSUDI LAKE,MAKUHANI ETC,BILA SHAKA UNAKUMBUKA MKE WA MANOA AND ALL SUIT-STORIES.
SASA LET ME CLEAR A DOUBT ON TIMOTHY. HUYU MCHUNGAJI TIMOTHEO ALIISHI KTK MJI WA EFESO,THE WATER OF THE CITY YALKUWA SALTY AND HARD.WENGI HAWAKUWA WANAPENDELEA KUNYWA MAJI AKIWEMO TIMOTHEO,SASA KWA KUWA WATU WALIKAA HATA JUMA ZIMA BILA KUNYWA MAJI,WENGI WALIPATA SHIDA YA MATUMBO KTK MMENG'ENYO (CONSTIPATION),TIMOTHEO SUFFERD THE SAME,SASA PAULO ALIKUWA ANASHAURI "WATER THERAPY" ,AMBAPO WATU WALICHUKUA MAJI NA KUYACHANGANYA NA YAYINI KIDOGO ILI YAWE NA TASTE UWEZE KUNYWA. THE REASON BEHIND WAS NOT ULEVI,INGAWA BADO MSIMAMO WA MWISHO KUHUSU KILEVI NI "USIGUSE,USISHIKE,USIONJE" KOLOSAI 2:21
TUTAKUWA WAJINGA KAMA TUTALAZIMISHA UKRISTO WETU TUUFANANISHE NA ULIMWENGU WA KALE WA UJINGA (MATENDO 17:30) AMBAPO MUNGU HAKUWA AMEJIFUNUA KWA UKAMILIFU,WE ARE LIVING AT THE MAXIMUM REVELATION ERA
🍷gonga tuu kama hupendi mbingu

Thursday, February 5, 2015

SABABU SABA (7) ZITAKAZO KUFANYA KUWA MSHINDI DUNIANI...

Glory to GOD watu wa MUNGU,leo ninataka nizungumze na wewe Sababu saba zitakazokufanya kuwa Mshindi Duniani...Zifuatazo ni Sababu hizo..
1.NENO LA MUNGU LIWE KWA WINGI NDANI YAKO..
Neno la MUNGU likiwa kwa wingi ndani yako ni Dhahili utakuwa Mshindi lakini ndano yako kukiwa na Maneno mengine kinyume na Neno la MUNGU unaweza ukatikiswa na adui na kujikuta umeanguka.ndio Maana Mfalme Daudi akasema "Moyoni Mwangu nimeliweka Nno lako nisikutende dhambi" Zaburi 119:11,Je moyoni mwako wewe umeweka neon la namna gani??
2.MAOMBI/KUOMBA....
Daniel,Eliya,Mussa,Bwana YESU,nk Hawa wote walihakikisha wanaishi katika Maombi,Wakati Mwingine kwa kufunga,Bwana Yesu kuna sehemu aliwaambia wanafunzi wake hamkuweza kukesha name hata saa moja
Matayo 26:40 Akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, "Ndiyo kusema hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja? 41 Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni dhaifu."
3.MAONO..
Hakikisha katika maisha yako Duniani unakuwa na maono,(Yaani mtazamo wa Mbeleni) hata kama wenzako hawajafika wewe unasema nitafika,usiishi bila maono,ukiwa na maono mipango yako inakuwa inaenda vizuri pasipo na shida.
Bila ya kuwa na maono ya wapi unaelekea ni rahisi kuchukuliwa na upepo na kupelekwa usikokutazamia. Maono yatakufanya ujue ni nini ufanye kwa ajili ya Mungu na maisha yako kwa ujumla.
Mithali 29: 18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
4.KUTOKUWA NA TAMAA YA VITU VISIVYOFAA
Kuna watu wanatamani vitu visivyofaa ambavyo ni kinyume na agizo la MUNGU,Ndiyo maana MUNGU hakasema usitamani mke wa jirani yako,wengine wanatamani mali za wengine bila kujua chanzo chake na wengi wamepotea kwa namna hiyo
Zaburi 119:37 Unigeuze macho yangu nisitazame yasiyofaa, unihuishe katika njia yako.
5.AMBATANA NA MARAFIKI WEMA..
(Mithali 27:17) Chuma hunoa chuma. ni dhahili chuma hakiwezi kunoa embe angalia marafiki zako wanakunoa au?? angalia mtazamo wao,kuwaza kwao,nk..Wao waliokutana na Marafiki wabaya,ambao wamesababisha mpaka maono yao kufa na kurudi nyuma kwa kumuacha YESU KRISTO..Wapo waliokutana na marafiki wabaya waliokuwa na lugha chafu na kusabadilisha..Je una marafiki wa aina gani??
6.KUTOMWEKEA MUNGU MIPAKA
Hii ni hali ya mwanadamu kuamini kuwa Mungu anaweza hili na hili hawezi...kitendo hiki Mungu anakiita kuwa ni 'DHARAU' kwake... Zaburi 78:41 inasema, "Wakarudi nyuma wakamjaribu MUNGU; Wakamwekea MPAKA Mtakatifu wa Israel"Mstari huu wa Zaburi unaelezea maisha ya wana wa Israel njiani toka Misri kwenda nchi ya Maziwa na Asali-Kanaani.Biblia inaeleza jinsi Musa alivyowatuma wapelelezi 12 kwenda kuipeleleza nchi ya ahadi waone kama kama kweli ni nchi ya 'Maziwa na Asali'...10 kati yao Waliporudi walirudisha ripoti ya kuwa kweli ile nchi ni ya maziwa na asali, ila inakaliwa na Wanefili-wana wa Anaki...majitu na ya kwamba wao ni kama panzi tu na hawawezi kwenda na kuimiliki. Joshua na Kalebu walileta habari njema...waliona kwa macho lakini wakazungumza kile ambacho ni 'UHAKIKA WA MAMBO YATARAJIWAYO' wakamwamini Mungu kuwa aweza kuwapa ile nchi kuwa milki yao sawa na alivyomwapia Ibrahim(Hesabu sura ya 13 na ya 14) na wote waliomwekea Mungu mpaka walikufa huko jangwani, hawakuingia nchi ya ahadi...WALIFUPISHA MAISHA YAO KWA KUTOKUAMINI KWAO...Ila Kalebu aliishi muda mrefu sana, alikuwa na nguvu kama za mtu wa miaka 40 hata alipokuwa na miaka 85( soma Joshua 14:6-14) na inaeleza pia ya kuwa Joshua alikuwa MZEE SANA, alikufa akiwa na miaka 110 lakini alikuwa na nguvu zake kamili mpaka pale BWANA alipompumzisha(Joshua24:1-29)Kama unataka kuwa na maisha marefu, na unataka kuziongeza siku zako...ishi maisha ya IMANI...Usimwekee Mungu mipaka, kumbuka, "Njia zake zi juu mno na fahamu zake pia" Isaya 55:8-11
7.KUACHA DHAMBI
Dhambi ni mbaya...inakutenga mbali na Mungu( Isaya 59:1-2) lakini kibaya zaidi inapunguza maisha yako...inakufanya ufe kabla ya muda wako...Unafurahia kuishi maisha ya dhambi? ni mzinzi, mwongo, msengenyaji, usiyesamehe,mwenye kinyongo, kisasi nk? Unajipeleka kaburini kabla ya wakati wako...unafanya kazi ambayo mshahara uitwao 'MAUTI' utaupata.Katika Warumi 6:23 Biblia inasema, "Kwa maana mshahara wa DHAMBI ni MAUTI(KIFO), bali karama ya Mungu ni uzima wa Milele katika Kristo Yesu Bwana wetu" pia Biblia inasema, "Roho itendayo DHAMBI ndiyo itakayokufa"Maisha ya dhambi yanakata muda wa mtu wa kuishi...Ni wangapi waliokufa wakiwa vijana wadogo kwa sababu ya UKIMWI kwa kutoikwepa dhambi ya Uzinzi? au ni Wezi wangapi wamekufa wakiwa katika harakati za kuiba?Dhambi ni adui mkubwa kwangu na kwako!
Mwl.Conrad..
0753 391634

Monday, January 12, 2015

MAJINA YA MUNGU



Jina la Mungu Maana yake Mstari wa Biblia
...
1. Adonai ‐ Mungu Mwenye enzi yote ‐ Mwa 15:2‐8, Kut 6:2‐32. El‐Ohim ‐ Mungu Muumbaji ‐ Mwa 33:20, Kol 1:16‐17
3. El‐Elyon ‐ Mungu Aliye juu zaidi ‐ Mwa14:18, Dan 4:34
4. El‐Gibbor ‐ Mungu Mwenye Nguvu ‐ Isa 9:6, Zab 147:5
5. El‐Hai ‐ Mungu Aliye Hai/Anaishi ‐ Josh 3:10, 1Sam17:26
6. El‐Olam ‐ Mungu wa Milele ‐ Ufu 4:8, Kut 3:14
7. El‐Roi ‐ Mungu Aonaye kila kitu ‐ Mith 15:3, Zab 32:8
8. El‐Shaddai ‐ Mungu Mtoshelezi ‐ Mdo 17:28, Kumb 8:4
9. Jehovah ‐ Ajitegemeaye kuwepo ‐Kut 6:2‐8, Mdo 17:24‐25
10. Jehovah Shalom ‐Mungu Amani yetu ‐ Amu 6:22‐24
11. Jehovah Rapha ‐ Mungu Atuponyaye ‐ Kut 15:26
12. Jehovah Jireh ‐ Mungu Mtoaji wetu ‐ Mwa 22: 8, 14
13. Jehovah Nissi ‐ Mungu Ushindi wetu ‐ Kut 14:13‐14
14. Jehovah Saboath ‐ Bwana wa Majeshi ‐ Malaki 3:7
15. Jehovah Shammah ‐ Bwana ni Aliyepo ‐ Kut 3:14
16. Jehovah Rohi ‐ Bwana ni Mchungaji wangu ‐ Zab 23:1
17. Jehovah Tsidkenu ‐ Bwana ni Haki yetu ‐ Yer 23:6
18. Jehovah Mekaddishem ‐ Bwana Atutakasaye ‐ Kut 31:13