Thursday, March 27, 2014

Sikia Mtu wa MUNGU

SIKU HIZI KUNA WIMBI LA SMS ZENYE NUKUU YA MISTARI YA BIBLIA AU MCHORO WA MSALABA,

SMS HIZI HUKUTAKA MTU UTUME KWA IDADI KAZAA YA WATU NA UNAAHIDIWA BARAKA KWA KUTEKELEZA NA LAANA KWA KUPUUZA.

Ukweli ni huu,
1.kuna aina 42 ya misalaba ambayo ni alama za freemason ukiwemo unaosambazwa ktk sms

2.Watu hulaaniwa kwa kutotii amri za Mungu na si kutotuma sms

3.Huwezi kumpangia Mungu kubariki n...dani ya siku fulani,

4.Hakuna mahali ktk biblia ambapo Yesu alilazimisha watu wamhubiri akiwatishia laana na kuwahonga baraka.

5.Daima sauti ya Yesu ni ya upole,

6.kuwa makini usìje ukamtumikia shetani.

NA MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI