Neema ni upendeleo (Favour),au Katika tafsiri nyingine Neema ni usaidizi wa Kimungu (Divining Patronage).
Biblia inasema katika Tito 2:11 ( Maana Neema ya Mungu iletayo wokovu imefunuliwa), kufuatana na kitabu cha Tito "kwamba neema ya Mungu iletayo wokovu imefunuliwa, ikiwa na maana hakuna mtu anayeweza kuokoka au kumsogelea Mungu isipokuwa Neema ya ...Mungu imefunuliwa kwake. (Yohana 14:6)
Ukiangalia Yohana 14:6 inasema hakuna awezaye kwenda kwa Baba isipokuwa kupitia Mimi (Yaani Yesu Kristo),kwa lugha nyingine naweza kusema,ukifika mahali pa Kuokoka na kumpenda Yesu ujuwe ya kwamba si wewe,wala si nguvu zako ila ni Neema au usaidizi wa Mungu umekuvuta kwake.
Kwa lugha nyepesi vile ulivyo usijivune,usijigambe,usijiinue
Utakuta familia ya watoto watano cha ajabu mikoba ya kichawi inamchagua mmoja,kwa nini? ni kwa sababu kibali cha kichawi kimemchagua mtu huyo,cha kufanya kataa kwa jina la Yesu mambo yote ya ki shetani atakama yanakupa sifa na heshima,shetani anakupenda na kukutumia kwa mapenzi yake then ataku damp(tupa)
BY: BISHOP DEO
(THE BODY OF CHRIST MINISTRY MOROGORO)
0717 660807
No comments:
Post a Comment